Wananchi zaidi ya 20,000 wa Vijiji vya Magombwe,Isele,Kinyika na Kisanga wataondokana na adha ya maji mara baada ya Miradi miwili ya upanuzi wa Mradi wa maji Pawaga kwenda vijiji vinne Kata ya Mlenge kukamilika. Akiongea wakati wa hafla ya utiaji sahihi wa Mikataba miwili ya Upanuzi wa Mradi wa maji Pawaga kwenda Vijiji vine vya […]